Kuna joto la kisiasa nchini Kenya kwa sasa hasa kile kinachoonekana kuwa ni masaibu yanayomuandama naibu rais Rigathi Gachagua, na madai kwamba wapambe wa rais William Ruto wanapanga kumtimua ofisini.
Miezi mitatu baada ya maandamano makubwa ya kuipinga serikali nchini Kenya, Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, leo linapanga kuwasilisha ombi la kutaka kuundwe ...